Kliniki ya Magonjwa ya Ndani

Posted on: April 26th, 2024

Kliniki ya idara hii hufanyika siku za Jumatatu na Ijumaa kuanzia saa 3.00 asubuhi hadi saa 9.30

mchana. Kliniki ni maalum kwa magonjwa ya Kisukari, shinikizo la Damu (Hypertensio), matatizo

ya figo na moyo, magonjwa ya kuambukiza, saratani, matatizo ya akili pamoja na matatizo

mengine yasiyo ya upasuaji au magonjwa ya via vya uzazi na ujauzito.