KAMBI YA MADAKTARI BINGWA WA MIFUPA NA MFUMO WA MKOJO
                            
                                Tuesday 4th, November 2025
                                
 @Hospitali ya Rufaa ya Mkoa Sumbawanga
Kambi maalumu ya Madaktari Bingwa wa Mifupa na Mfumo wa Mkojo kutoka Hospitali ya Rufaa ya Kanda Mbeya,
Huduma za kibingwa zitakazotolewa ni;
- Tiba na upasuaji wa Magonjwa ya Mifupa,
 - Tiba na upasuaji wa Magonjwa ya Mfumo wa Mkojo.
 





