KAMBI YA MADAKTARI BINGWA WA MIFUPA NA MFUMO WA MKOJO

image description

Sunday 5th, May 2024
@Hospitali ya Rufaa ya Mkoa Sumbawanga

Kambi maalumu ya Madaktari Bingwa wa Mifupa na Mfumo wa Mkojo kutoka Hospitali ya Rufaa ya Kanda Mbeya,

Huduma za kibingwa zitakazotolewa ni;

  • Tiba na upasuaji wa Magonjwa ya Mifupa,
  • Tiba na upasuaji wa Magonjwa ya Mfumo wa Mkojo.