Kliniki Za Idara za Upasuaji Maalum (Macho, Meno, ENT)

Posted on: April 25th, 2024

Kliniki za Afya ya Kinywa na meno na Kliniki za macho huendeshwa kila siku kuanzia Jumatatu

hadi Ijumaa kuanzia saa 3.00asubuhi hadi saa 9.30 mchana. Kliniki za mfumo wa Pua, Koo na

Masikio pia huendeshwa kama ilivyo kwa kliniki za meno na macho.